Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa
Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye (katikati) na
Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa huo, Amandus Nzamba wakati alipowasili
kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma kuanza ziara kikazi mkoani humo, Septemba 16,
2021.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa dini
wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma kuanza ziara ya kikazi
mkoani humo, Septemba 16, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Comments:
Post a Comment