Picha 5 Mafunzo ya waandishi wa habari Pemba yaliotolewa na TAMWA-ZNZ

 

Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali kisiwani Pemba wakifuatilia kwa makini mafunzo ya siku tatu juu ya mradi wa ushirikishaji wanawake katika uongozi,mafunzo hayo yameandaliwa na TAMWA-ZNZ Chini ya ufadhili wa Ubalozi wa Norway Nchini Tanzania.


Mratib wa TAMWA ofisi ya Pemba  Fat-hiya Mussa Said akizungumza na waandishi wa habari katika mafunzo hayo.


                      
MRATIBU wa mradi wa ushirikishaji wanawake katika uongozi kutoka
TAMWA ZNZ, Salma Amir Lusangi akifungua mafunzo ya siku tatu kwa
waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali Pemba, mafunzo
hayo yalioandaliwa na TAMWA Zanzibar Ofisi ya Pemba, chini ya wa Ubalozi wa Norway Nchini Tanzania.

About mmedia

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment