Picha za uzinduzi wa Ngao ya jamii Ligi kuu Zanzibar

 

Warembo maalum walioandaliwa kubeba Ngao ya Jamii wakati wa mchezo wa Ufunguzi wa Ligi Kuu ya Zanzibar  Kati ya Mafunzo na KMKM Mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu ya Mafunzo imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1. 
Waamuzi na Wachezaji wa Timu ya KMKM na Mafunzo wakiwa katika Uwanja wa Amaan Zanzibar kabla ya kuaza kwa mchezo wa Ngao ya Jamii. kwa ajili ya Ufunguzi wa Ligi Kuu ya Zanzibar kwa msimu wa mwaka 2021 /2022. 
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid akimkabidhi Ngao ya Jamii Kepteni wa Timu ya Mafunzo baada ya kushinda mchezo huo dhidi ya KMKM mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu ya Mafunzo imeshinda bao.2-1. 

About mmedia

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment