Baadhi Wanachama wa chama cha ACT wazalendo wakiwa katika mkutano Ufungaji Kampeni za Uchaguzi mdogo kwa nafasi ya Ubunge jimbo Konde Pemba,mkoa wa kaskazini Pemba. |
| Makamu wa Mwenyekiti wa Act Wazalendo Juma Duni Hajji akisalimiana na Mwenyekiti wa Vijana |
| Aliyekuwa Mke wa Maalim Seif Sharf hamad ambaye alifariki mwanzoni mwaka huu Mama Awena Sanani akisalimiana na wafuasi wa chama hicho |
0 Comments:
Post a Comment