Picha za kikao cha mkakati ujenzi wa Barabara Chake -Wete Pemba

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud, akizungumza katika kikao cha pamoja baina ya wakuu wa Mikoa, Wilaya ya na Watendaji kutoka kampuni ya MECCO juu ya uwanzaji wa Ujenzi wa barabara ya Wete-Chake Chake, halfa iliyofanyika Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.

MKURUGENZI Mwendeshaji kutoka Kampuni ya MECCO Abdulikadir Mohammed, akizungumza katika kikao cha pamoja baina ya Wakuu wa Mikoa, Wilaya na viongozi kutoka Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar, kikao kilichofanyika Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.




 

About mmedia

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment