Picha 5 Waziri mkuu Kassim Majaliwa alipotembelea kitalu cha michikichi kigoma






Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama miche ya michikichi wakati  alipokagua kitalu cha miche katika shamba la michikichi la Jeshi la Kujenga Taifa  (JKT)   kambi  ya Bulombora mkoani Kigoma, Septemba 16, 2021

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama miche ya michikichi wakati  alipokagua kitalu cha miche katika shamba la Jeshi la Kujenga Taifa  (JKT)  kambi  ya Bulombora mkoani Kigoma, Septemba 16, 2021. Wa pili kulia ni Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitumia kiona mbali kukagua shamba  jipya la michikichi la Kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa  (JKT) ya Bulombora  Mkoani Kigoma akiwa katika ziara ya kikazi ya mkoa huo, Septemba 16, 2021. Kushoto ni Meneja wa Shamba hilo, Meja Mwakibola. 







About mmedia

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment