Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro ( kulia)
akisistiza jambo wakati akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi wa Tanzania wa
Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) ,Veeraya Kate Somvongsiri wakati alipomtembelea
ofisini kwake leo Jijini Dodoma ambapo pamoja na mengine wamezungumzia hatua
ambazo Wizara ya Maliasili na Utalii inazichukua katika kuwalinda watalii ili
kuweza kukabiliana na tatizo la ugonjwa wa Corona
Home
Picha
Picha 3 za Mkurugenzi wa USAID Tanzania akizungumza na waziri wa maliasili na utalii Nchini
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 Comments:
Post a Comment