Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Mwanaidi Ali Khamis (Mwenye
kiremba) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo Kemilembe Lwota (kulia)
wakishiriki katika kuchangia nguvu zao katika miradi ya maendeleo kwa
kuchanganya zege kwa ajili ya ujenzi wa Zahanati ya Kaniha, Wilayani
Biharamulo, Kagera.
Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Mwanaidi Ali Khamis (Mwenye
kiremba) akisaidiana na Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, Kemilembe Lwota kumwaga
zege katika Ujenzi wa Zahanati ya Kaniha Wilayani Biharamulo ikiwa ni sehemu ya
uhamasishaji jamii kuchangia nguvu zao katika miradi mbalimbali ya maendeleo
0 Comments:
Post a Comment