Picha tatu Waziri mkuu alipokutana uongozi jiji la Dar es Salam

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wa jiji la Dar es Salaam, katika kikao cha pamoja kujadiliana namna ya kuboresha utalii wa fukwe kwa lengo la kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii. kikao ambacho kilijadili namna bora ya kutumia maeneo ya wazi ya jiji hilo. Agosti 17, 2021. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wa jiji la Dar es Salaam, katika kikao cha pamoja kujadiliana namna ya kuboresha utalii wa fukwe kwa lengo la kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii. kikao ambacho kilijadili namna bora ya kutumia maeneo ya wazi ya jiji hilo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, Katika kikao cha pamoja cha kujadiliana namna ya kuboresha utalii wa fukwe kwa lengo la kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii jijini Dar es Salaam, Agosti 17, 2021. 
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.

About mmedia

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment