![]() |
Katibu wa Itikadi na Uenezi chama cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara ya
kuhamasisha uhai wa Chama hicho, kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya
CCM 2020-2025, kupokea taarifa za mashina na kuhamasisha wananchi kushiriki
zoezi la sensa ya watu na makazi 2022. katika mkowa wa Mtwara


0 Comments:
Post a Comment