| Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipanda mti baada ya kukagua ujenzi na ukarabati wa mjengo ya Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Karagwe, Septemba 19, 2021. |
| Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kukagua ujenzi na ukarabati wa majengo ya Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Karagwe, Septemba 19, 2021. |
| Moja kati ya majengo yanayojengwa na serikali katika Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Karagwe. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua ujenzi na ukarabati wa majengo katika Chuo hicho Septemba 19, 2021. |
0 Comments:
Post a Comment