Picha 5 harakati za wafanya biashara soko la Jumbi Wilaya ya kati Unguja 1/9/2021

Wabeba mizigo katika soko la jumla Jumbi Wilaya ya kati Unguja wakipandisha mizigo ilionunuliwa na wateja kwenye gari na kuelekea Jambiani.

Baadhi ya wafanya biashara kwenye soko la Jumbi wakisubiri wateja wanaofika katika soko hilo.

Baadhi ya akinamama ambao ni wafanya biashara kwenye soko hilo wakijadili jambo huku wakiendelea kusubiri wateja.

Gari ya Cary ambayo tayari imeshapakiwa mizigo kwa ajili ya kuelekea soko la Mboga mboga Mombasa Zanzibar.

Kondakta akiweka mizigo sawa ilonunuliwa na wateja sokoni hapo na kuelekea Makunduchi.

 

About mmedia

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment