| Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika sala ya kumuombea marehemu mjomba wake, Shabaan Issa kabla ya mazishi yaliyofanyika katika kijiji cha Nandagala wilayani Ruangwa, Septemba 3, 2021. |
| Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika mazishi ya mjomba wake, Shaban Issa kwenye makaburi ya Nandagala wilayani Ruangwa, Septemba 3, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
0 Comments:
Post a Comment