Wanawake wa Goma wanateseka baada ya makazi yao kuteketezwa kwa volkan



 Maelfu ya wanawake kutoka mjini Goma, Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo, wanaoishi katika kambi za hifadhi wanakabiliwa na changamoto nyingi baada makazi yao kuteketea kwa lava ya volkano ya Nyiragongo tarehe 22 Mei.

About Marhaba

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment