Haji Manara aelekea Yanga

 


 Aliyekua Msemaji wa Simba SC Haji Manara ametangaza rasmi kujiunga na Yanga jioni hii Jijini Dar es salaam, ametangaza kuhamia na familia yake nzima.

“Nakwenda Yanga kwa sababu ina viongozi watakaonipa nafasi ya kuwasaidia, nilibanwa mno, nilidhihakiwa mno, sijawahi kuwa na matatizo.

Ikumbukwe yakuwa Manara aliondoka Simba Sc baada ya kutupiana maneno na viongozi wa klabu hiyo kwa tuhuma za kuihujumu timu yake ambayo amekuwa nayo kwa muda mrefu.

About mmedia

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment